WEWE DADA ULIYEKO KWENYE MAHUSIANO NA MWANAUME AMBAYE HAJAKUOA BADO ZINGATIA HAYA USIJEKUJUTA.

#KINA DADA NIONGEZE SAUTI WAU MTAJIREKEBISHA
Usibebe mimba ya mtu ajielewi leba sio mlimani city😂😂🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Umebeba mimba badae unasema huyu mwanaume kanitumia kanidanganya..sasa dada angu unabeba mimba ya mtu kasema tena kwa mdomo tu ntakuja kwenu nakupenda siwezi kukuacha yaani hata uakika wa maisha nae una unatoa zamana ya mwili kuingia leba nusu kufa kule kisa mwanaume mweu tu ambaye katumwa na shetani bomoa maisha yako```


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.