JE MWANAMKE KULAZIMISHA UHURU KWENYE UHUSIANO/NDOA YAKE NI SABABU YA KUPATA AKITAKACHO🤔


Kumezuka na kiji-tabia tena kinashika kasi kwamba;-
👉🏼 KILA MWANAMKE WA SASA ANAHITAJI KUWA NA MWANAUME ATAKAYEFUATA ATAKAVYO💯
Ki tamaduni zetu WA AFRICA lakini hata katika vitabu vya MUNGU ni kosa kubwa Mwanamke kumtawala Mwanaume📍
Juhudi kubwa inayotengenezwa na Mwanamke ni kuwa na hakika ya UCHUMI WAKE MWENYEWE wala hilo sina tatizo nalo, Tatizo langu ni dogo sana MWANAMKE HATA AFANIKIWE KWA KIWANGO GANI HAPASHWI KUWA JUU YA MWANAUME
Ili iwe rahisi kwa Mwanamke kumtawala Mwanaume anampa majukumu yatakayomfanya kupata mia mia na wanaume wa sasa walemavu wa akili wala hawaoni tatizo katika hilo, na hapo ndipo Mwanamke anakuwa huru kufanya atakayo na wengine wanakwenda mbali zaidi wanatengana mpaka vyumba japo wapo nyumba moja ili kuilinda status katika JAMIII huku ndani kukiwaka moto💉
Mwanamke kumtawala Mwanaume kunaanzia kwenye kulazimisha AYATAKAYO YEYE NDIYO YAWE BILA MARIDHIANO na baada ya hilo ni Mwanamke kupanga Safari na mitoko ya uongo ili kutafuta UHURU binafsi.
Wanawake walioko kwenye NDOA ndio wanao ongoza kutafuta UHURU kwa sababu mara nyingi huingia kwenye ndoa bila kutarajia iwe kwa MAHUSIANO FAKE yalomvutia sana na baadaye kuona alidanganyika ama zile ndoa zetu za kuna mtoto wa fulani anafaa kuwa mumeo mwisho wa siku HAWEZI KUKIDHI SHAUKU YA MOYO💯
Hapo ndipo huanzisha vita baridi ili kupata UHURU wa kutafuta atakayekuwa RELIEF wa changamoto za NDOA YAKE😂😂
Kama kuna ujinga Mwanamke huufanya DUNIANI ni kubakia kwenye URAIBU WA NDOA kwamba Mume abakie kuilinda heshima katika jamii na haja ya MOYO akaitafute nje ya NDOA yake🗣
Huwezi kupata UPONYAJI KWENYE MOYO WAKO IKIWA UNAISHI NA MTU AMBAYE HAKUWA CHAGUO LAKO HALAFU WAKATI HUO HUO UWE NA MWANAUME MWINGINE AWEZAYE KUKUPA FARAJA ILI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO UNAPITIA💯
Bali njia rahisi ni Mtu mwenyewe kuangalia yafuatayo;-
👉🏼ULITAKA UWE WAPI.
👉🏼UPO WAPI KWA SASA.
👉🏼UNATAKA UWE NANI.
Hayo ndiyo mambo ambayo wengi hawawezi kuyapa kipaumbele, Maamuzi magumu siku zote huleta majibu ya matatizo na hapo ndipo Mtu unaweza kupitia magumu baada ya maamuzi magumu lakini ni kwa kitambo yakiisha hayo UTAKUWA UMETENGENEZA NJIA YA KILE UKIPENDACHO💪🏼
Wengi huogopa kuanza na wakavumilia matatizo ili tu jamii isiwacheke, huku wakotafuta watu wa kuwapa FARAJA kitu ambacho ni HATARI SANA📍
Maji ukiyavulia nguo 👙👗👠 yaoge 🏊🏻‍♀ Mama😂
Iwe ni BWANA MPO KWENYE MAHUSIANO AMA NDOA HUYO NDIYE WAKO na ukienda kwa Mwingine huo ni MUWASHO😂
Image may contain: one or more people, people sitting and outdoor


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.