USIYAHUKUMU MAPENZI KWA AKILI 🧠BALI SUBIRI HUKUMU YA MOYO KUWEZA KUACHANA NA MTU ULIYEMPENDA💯
Macho ni madanganyifu, Masikio
 ni madanganyifu, Masikio ni machonganishi hata kupelekea akili kukosa ustaarabu hata kuanza kutawanya chuki ndani ya NAFSI pamoja na MOYO
ni machonganishi hata kupelekea akili kukosa ustaarabu hata kuanza kutawanya chuki ndani ya NAFSI pamoja na MOYO

 ni madanganyifu, Masikio
 ni madanganyifu, Masikio ni machonganishi hata kupelekea akili kukosa ustaarabu hata kuanza kutawanya chuki ndani ya NAFSI pamoja na MOYO
ni machonganishi hata kupelekea akili kukosa ustaarabu hata kuanza kutawanya chuki ndani ya NAFSI pamoja na MOYO

Na hapo ndipo anguko la UPENDO  kuanzia, Mtu uliyempenda kwa MOYO na NAFSI yako haondolewi kwa vita ya IMANI
 kuanzia, Mtu uliyempenda kwa MOYO na NAFSI yako haondolewi kwa vita ya IMANI
 kuanzia, Mtu uliyempenda kwa MOYO na NAFSI yako haondolewi kwa vita ya IMANI
 kuanzia, Mtu uliyempenda kwa MOYO na NAFSI yako haondolewi kwa vita ya IMANI
Uaminifu hauji Kwenye maamuzi ya NAFSI ama UTASHI WA MOYO bali ni matendo yatokanayo na mapokeo ya MACHO pamoja na MASIKIO
 pamoja na MASIKIO ndo maana ni ngumu MOYO kukubari ya kusikia, kuona ila ni mpaka Moyo wenyewe uanze hofu inayotokana na HISIA YA USALITI hapo ndipo Mtu anaweza kusema IT'S OVER
ndo maana ni ngumu MOYO kukubari ya kusikia, kuona ila ni mpaka Moyo wenyewe uanze hofu inayotokana na HISIA YA USALITI hapo ndipo Mtu anaweza kusema IT'S OVER
 pamoja na MASIKIO
 pamoja na MASIKIO ndo maana ni ngumu MOYO kukubari ya kusikia, kuona ila ni mpaka Moyo wenyewe uanze hofu inayotokana na HISIA YA USALITI hapo ndipo Mtu anaweza kusema IT'S OVER
ndo maana ni ngumu MOYO kukubari ya kusikia, kuona ila ni mpaka Moyo wenyewe uanze hofu inayotokana na HISIA YA USALITI hapo ndipo Mtu anaweza kusema IT'S OVER
Kusema IT'S OVER kwa kuona ama kusikia haitoshi kuwa ndo MOYO AU NAFSI vimefika mwisho, hiyo ni akili pamoja na hali ya kujaribu KUJITUTUMUA ila tatizo lipo pale paleeee



Wengi tunajikuta katika MAUMIVU kwa kuangalia ama kusikia mienendo ya wapenzi wetu, bila kujali ni UAMINIFU ama ni USALITI lililo kuu Kwenye MAHUSIANO AMA NDOA NI IMANI kinyume cha hapo HAKUNA MKAMILIFU

Uambie MOYO wako jinsi UNAMPENDA mwenza wako, Uulize MOYO wako unakosea wapi ili mwenza wako awe kama ulivyotarajia, jichunguze tabia yako ujue mambo yanayomkera mwenzako na baada ya hapo pima MAKOSA yako, Pima MAKOSA ya mwenza wako kisha JISAHIHISHE na ndipo uweze kusubiri mabadiliko ya upande wa Pili, Ukifanikiwa haya UMESHINDA VITA YA MAPENZI.
 VITA YA MAPENZI.
 VITA YA MAPENZI.
 VITA YA MAPENZI.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
 
 


 
 
 
No comments: