*MAMBO 10 YA KUMFANYIA MKEO KILA SIKU* - DARASA LA MAHUSIANO

UTAMU KITANDANI APP
...... _Kuna mambo madogo madogo ambayo unatakiwa kumfanyia mkeo kila siku ili kuufanya uhusiano wenu uendelee kuwa hai._
...... _Yanaweza kuwa madogo lakini yanaleta tofauti kubwa sana. Ifuatayo ni orodha ya mambo 10 unayoweza kumfanyia kila siku:_
💖💖💖💖💖💖💖💖💖
*1. Wapende watoto wake:*
...... _Kama mna watoto, hakuna kitakachomfurahisha sana kama kukuona kama baba mwenye upendo._
💞💞💞💞💞💞💞💞💞
*2. Mbusu:*
...... _Kila unapotoka na kuingia nyumbani, mbusu. Hakika busu linatuma ujumbe maridhawa kwenye moyo wake._
💖💖💖💖💖💖💖💖💖
*3. Mkumbatie:*
...... _Kumbatio huwaweka karibu na humfanya ajihisi amani na kuwa na hisia ya kupendwa. Inapendekezwa kuwa umguse mkeo angalau mara 31 kwa siku._
💞💞💞💞💞💞💞💞💞
*4. Mpe sifa ya kipekee:*
...... _Kuna vitu vingi vya kuvutia kuhusu mkeo. Kila siku tafuta kitu kipya na umwambie kuhusu kitu hicho. Mpambe na umsifu._
💖💖💖💖💖💖💖💖💖
*5. Mchokoze:*
...... _Wakati fulani mkeo anahitaji kukumbushwa kuwa anatakiwa kuwa laini na asiyekuwa na ugumu; anahitaji kutaniwa, kuchokozwa na kuchekeshwa._
💞💞💞💞💞💞💞💞💞
*6. Mfanye ajisikie kuwa yu salama:*
...... _Fungeni milango na umbebe, hasa kama nje kuna watu au kuna kelele zinazowanyima utulivu._
💖💖💖💖💖💖💖💖💖
*7. Zima simu yako:*
...... _Tenga muda angalau kidogo wakati wa usiku na ukae na mkeo badala ya simu yako._
💞💞💞💞💞💞💞💞💞
*8. Muombee dua:*
...... _Kila siku katika sala na maombi yako, usimsahau mkeo… muombee kwa Mungu._
💖💖💖💖💖💖💖💖💖
*9. Mchekeshe:*
...... _Kama unaweza kumchekesha kila siku, mtaweza kukabiliana na chochote._
💞💞💞💞💞💞💞💞💞
*10. Mwambie*
*“Ninakupenda”:*
...... _Kila siku litamke neno hilo, hatochoka kulisikia na kulisikiliza._
💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖💞💖 ðŸ’ž *MAFUNZO YA NDOA* ðŸ’žðŸ’–💞💖💞💖💞💖💞💖💞💞💖💞💖💞💖💖💞


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.