Ogopa Sana Mida ya Saa TISA Usiku Mpaka Saa Kumi na Moja Alfajiri ni Hatari..Majini Wapo Kazini

Unambiwa kuanzia mida ya saa tisa usiku mpaka saa kumi na mbili alfajiri ,ni mida ya shetani,ghosts na wachawi ,na mambo mengi sana mabaya hutokea mida hiyo kama vifo ,pia ghosts ndomana kuanzia mida hiyo mbwa,paka,bundi na kuku ,huwa wana piga kelele sana kwasababu wana uwezo mkubwa wa kuona vitu visivyo onekana.

Unambiwa endapo kama sehemu unayo ishi(nyumbani kwako) ikifika usiku ,kuna kuwa na mazingira ya ajabu mfano

Baridi kali,upepo, harufu ambazo hazina chanzo,unasikia sauti zisizo elezeka,pia unaweza ukakuta mapazia yana pepea bila chanzo kama upepo

Jua basi kuna uwezekano mkubwa sana apo ni makazi ya ghosts/mizimu..au pia hiyo sehemu ulio jenga yalikuwa makaburi ya watu.

Pia unambiwa siku ambayo unajikuta unakuwa muoga sana haswa wakati wa usiku unapoenda kulala ,basi jua kwamba siku hiyo ni rahisi sana kutembelewa na ghosts/mizimu kwasababu unakuwa una wapa uhuru wakukutawala.

(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.