HATAKI MASSAGE WALA ROMANCE, NIMEUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA

Nimetoka kuoa kabila moja kubwa kaskazini huko hasara tupu kwa kweli
tulikua kwenye uchumba zaidi ya miaka miwili na nusu aliniambia yeye bado bikra kwahiyo nimvumilie hadi ndoa ndo tuta duu nikamkubalia
kweli tumefunga ndoa miezi sita sasa imepita
sijakuta cha bikra wala birika nimeambulia kopo la kufa mtu , pili gogo hajigusi hata kutoa mguno wa uongo kitandani kama nimenunua s3x dolly vile,
hataki kufanyiwa love play , hataki massage kwa ufupi Nimeula
wenye uzoefu hivi atakuja kubadilika? Wadada wa kichaga ndo mlivyo au ananiigizia?


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.