Hatua muhimu za kupiga mswaki

Piga mswaki angalau mara mbili kwa siku baada ya chai na baada ya chakula cha usiku
Tumia dawa ya meno yenye madini ya fluoride, Badili mswaki kila baada ya miezi mitatu
Muone daktari wa meno mara kwa mara kwa uchunguzi na matibabu ya mapema.

Hatua za kupiga mswaki.

1. Weka mswaki wako katika degree 45 na meno yako ili mswaki wako ugusane na meno yako pamoja na fizi.

2. Sugua sehemu ya nje ya meno yako 2-3 taratibu bila kutumia nguvu kwa mwendo wa kuzungusha kisha sogea kwenye meno mengine 2-3 na rudia ivo ivo.

3. Endelea vile vile kwa meno ya ndani, mswaki ukiwa kwenye degree 45 na meno yako kwa mwendo wa kuzungusha mbele na nyuma kwenye meno na fizi zote.

4. Geuza mswaki wako nyuma ya meno ya mbele kisha kwa mwendo wa kwenda juu na chini safisha meno hayo vizuri.

5. Weka mswaki wako kwenye sehemu ya meno ya kutafunia na kwa taratibu safisha sehemu hizo kwa mwendo wa kwenda nyuma na mbele.

6. Malizia kwa kusafisha ulimi vizuri.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.