Tunda "Najichukia Kwasababu Nimemuumiza Whozu Naomba Anisamehe Turudiane"
Tunda "Najichukia Kwasababu Nimemuumiza Whozu Naomba Anisamehe Turudiane"
Ameandika Tunda Kupitia Ukurasa Wake wa Instagram:
'Najichukia kwasababu nimemuumiza mwanaume muaminifu na mwenye kunijali haijawahi tokea. Kama unaweza tafadhali nisamehe, nakuhitaji kwenye maisha yangu. Nilikua na tabia za kitoto kwako, naona aibu kwaajili ya tabia zangu, tafadhali nisamehe. Upendo wako ni hamasa tosha, usinikatili nia yangu ya kuwa na wewe. Nakupenda sana, nisamehe **Whozu ', ameandika Tunda kupitia ukurasa wake wa Insta
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: