MASIKILIZANO HULETA MAELEWANO THABITI KATIKA MAHUSIANO
Masikilizano huleta maelewano thabiti yanayopelekea kudumishwa kwa penzi,,,,mapenzi hayahitaji ujuaji uliopitiliza bali yanahitaji upeo ambao utaruhusu mawazo yenu wote yawapeleke njia ambayo ni sahihi,,,usawa kwenye mapenzi ni sahihi ili isije mmoja akaelemewa na mzigo halafu akakinai mapenzi,,,,,hebu ishini kwa kuongozwa na upendo na kila mmoja aweke tamaa pembeni ili mfikie malengo yenu mapema.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: