KAMA UNA MPENZI WAKO USIUMIE KWA KUSIKILIZA HISTORIA YAKE YA NYUMA

,
Mahusiano imara na mazuri yanajengwa na wakati mlionao sasa hivi na sio historian zenu za nyuma,,,,,,usipende kufuatilia sana mwanaume/mwanamke wako alikuwa na makosa gani huko nyuma,,,,,,kwasababu watu wanakosea lakini hamna anayeishi kwenye makosa kila siku.

(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.