Jacline wa sinza, Nilikuwa nakupa hai.

Mambo naitwa jacline kutoka sinza, leo nimejikuta namuwaza sana x wangu sijui nimpigie simu maana namba yake bado ninayo, ninashindwa kuifuta kwa sababu kuna wakati najikuta nakumbuka sana vitu hadimu alivyokuwa ananipa,
sasa nawaza pindi nitakapompigia akiniuliza ulikuwa unasemaje nitamjibu nini, anyway kiukweli nimemsi sana ila nitamwambia nilikuwa nakupa tu hai.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: