MADEMU WA HIVI!! SIO WAKUINGIZA GETO KABISAA
Mwanamke ana kashfa utadhani baba yake ni MO.?
Alipofika tu ndani, chakwanza anauliza..
Hivi hii nyumba mwenye nyumba mnakaa nae au hayupo? Mbona nyumba mbaya hivi??
Amekwenda chooni aliporudi.
"Mbona choo kichafu namna hi, mnaishi VIP humu"
Alipo kaa kitandani
"Halafu wewe mchafu, mbona hata ndani hufagii?
Nilipowasha tv
"Hi tv nchi ngapi? Ni nzuri lakini kung'amuzi hiki mie sikipendagi hakina tamthilia nzuri"
Aggggggghhhhhh
Akaendelea kuuliza maswali mpaka nikatamani kumruhusu arudi tu huko kwao alikotoka.
Lakini nikafanya lililomleta, baada ya hapo nikamruhusu aende.
Lakini simtaki Tena geto kwangu.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: