UKIMCHUKULIA POA MPENZI WAKO USIDHANI KAMA ATAKUVUMILIA SIKU ZOTE

*Ukimchukulia poa mpenzi wako usidhani kwamba atavumilia siku zote. Kuna wakati mpenzi wako anajiona kabisa hafurahii mahusiano sababu wewe umekua ukimuumiza kila mara na kibaya zaidi usaliti umekua ni sehemu ya maisha yako. Cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba tunawasaliti wale tunaojua wanatupenda tukiwa na dhana potofu ya kwamba hawawezi kutuacha. Utamuumiza vya kutosha! Utamsababishia vidonda vya kila aina moyoni! Utamkejeli, kumdharau pamoja na kumshusha thamani yake lakini siku akisema imetosha basi ujue imetosha kweli. Tuache uovu kwa wanaotupenda na tuwe sababu ya furaha yao.*


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.