JIFUNZE KUACHILIA VITU AU WATU WAENDE ILI UANZE KUPATA AMANI YA MOYO NA UACHE KUUMIA.
*Wakati mwingine kuachilia vitu viende kunasaidia kuliko kuvishikilia Wakati mwingine ni kheri kuwaachilia watu waende kuliko kuwashikilia na kuendelea kuumia*
*Tunaishi katika nyakati za hatari ambazo kama hatutaachilia baadhi ya vitu na kuviruhusu viende tunaweza kujikuta kwenye mazingira magumu na maumivu makubwa.*
➖Achilia waliokuumiza
➖Achilia waliokudhulumu
➖Achilia waliokusaliti
➖Achilia wanaoendelea kukutukana
➖Achilia uliowainua na sasa wamegeuka kutaka kukuangusha.
➖Achilia uliowasaidia na sasa wanatumia msaada huo kukuharibia.
➖Achilia waliokukimbia wakati ulikua ukiwahitaji.
➖Achilia wanaokuchafua bila sababu.
➖Achilia uchungu
➖Achilia hasira
➖Achilia wivu
➖Achilia huzuni na majonzi
➖Achilia kuwachafulia wengine.
➖Achilia kuchonganisha wengine.
➖Achilia waliokudhulumu
➖Achilia waliokusaliti
➖Achilia wanaoendelea kukutukana
➖Achilia uliowainua na sasa wamegeuka kutaka kukuangusha.
➖Achilia uliowasaidia na sasa wanatumia msaada huo kukuharibia.
➖Achilia waliokukimbia wakati ulikua ukiwahitaji.
➖Achilia wanaokuchafua bila sababu.
➖Achilia uchungu
➖Achilia hasira
➖Achilia wivu
➖Achilia huzuni na majonzi
➖Achilia kuwachafulia wengine.
➖Achilia kuchonganisha wengine.
Achilia Achilia Achilia Achilia Achilia
*Hebu jifunze kuachilia vitu viende Ufanye Moyo wako wa kuwaachilia watu wasiotaka kuwa sehemu ya maisha yako waende ili uwe na amani ya kudumu.*
*Kumbuka kuwa wakati mwingine ni kheri kuachilia kamba yenye miiba kuliko kuendelea kuishikilia.*
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments: