Lulu Michael na Majizzo Wachoka Kusubiria Mtoto..Hichi ndio Walichoamua Kufanya


Ikiwa bado tunaendeleza mwezi wa wapendanao(Valentine's) huku kila mmoja akijaaribu kuonyesha namna alivyosherehekea na ndugu jamaa na marafiki/wapenzi wao

Mkurugenzi wa E-media @majizzo yeye ametupostia picha ya keki ambayo inaoneka dhahiri kwamba imetoka kwa mchumba wake @elizabethmichael na suala lililochukua headlines na kuacha maswali vichwani mwa watu ni kuhusiana na caption ya @majizzo ilioashiria kuwepo kwa uwezekano wa wawili hao kuwa katika mpango wa kutafuta mtoto hivi karibuni.

Hii imezidi kuhisiwa hivi kutokana na jibu la @elizabethmichael Katika post hiyo ambapo limeonyesha kama wote kwa pamoja wapo tayari na wamechoka kusubiri Katika hili



(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.