CHOMBEZO: MPANGAJI EPISODE 02






“Haya dogo, mimi nataka kwenda zangu nyumbani sasa hivi. Wewe ukiwa na shida yoyote, muite huyu muuguzi. Anaitwa Nesi Subira, yupo hapa kwa ajili ya field au kwa Kiswahili field ni mafunzo ya vitendo”. Aliongea jamaa yule muuguzi huku mimi nikibaki na maneno machache kichwani mwangu yale ya ‘Wewe ukiwa na shida yoyote, muite huyu muuguzi’. Nilitabasamu na kumuaga dokta ambaye alianza kutoka nje ya mlango ya wodi ile huku nyuma yake akifuata yule Nesi Subira.
Baada ya wale wauguzi wawili kutoka nikaanza kujiwazia moyoni jinsi ya kumpata Nesi Subira ambaye kwa wakati huo tayari alikuwa kajaa akilini mwangu hasa kwa kile kivazi chake nadhifu na cha kuvutia kilichokua kifupi kiasi. Ufupi ule wa kile kivazi ulisababisha miguu yake nyororo kama losheni ya cocoa butter kuonekana hadi juu kidogo ya magoti, na ile michirizi nyuma ya miguu yake ndio haswaa ilimuamsha Prince na kusimama dede pale kitandani. Mawazo ya kumfikiria Nesi Subira yakaniteka akili na kujikuta nikibebwa na usingizi ambao ulikuja kuisha baada ya kusikia sauti ile ile ya Nesi Subira ikiniamsha. “We kaka, we kaka. Hamka ukapate chakula”.Aliniambia Nesi Subira baada ya kuamka. “Dada mimi siwezi, yaani hapa tumbo linanivuruga sana. Kwani saa ngapi sasa hivi?”.Nilizuga na kumuuliza swali. “Sasa hivi saa mbili na nusu, ndiyo muda wa wagonjwa waliyo katika uangalizi kwenda kupata chakula”.Aliniambia yule Nesi Subira baada ya kuangalia saa yake mkononi. “Aaah, mi siendi bwana. Kama vipi kaniletee huku huku. Chukua hela hii hapa”.Nilimwambia yule Nesi huku namkabidhi noti ya shilingi elfu kumi. “Haya kaka….” “Niite Prince”.Nilimkata kauli kwa kumtajia jina langu. “Haya Prince, kwa hiyo chakula gani?”.Aliniuliza. “Kalete kile unachoona kitanifaa mimi”.Nikamjibu huku namuangalia usoni.Hadi hapo nilikuwa namjibu majibu yangu kisomi zaidi. Kama angeelewa nachomaanisha,sidhani kama angeuliza swali linalo fuata. “Ok! Na kinywaji gani?”. “Hicho niletee chako mwenyewe”.Nikamjibu. “Changu mwenyewe kivipi?”.Akazidi kunichimba maswali. “Kwani wewe una kinywaji gani?”. “Mimi sina kinywaji”. “Okey! Nitakwambia baadaye. Sasa hivi niletee chochote utakachokiona”.Nikamjibu na baada ya jibu hilo,akatoka kwa ajili ya kwenda kufanya nilichomuagiza. Huku nyuma mimi nikabaki nawaza na kuwazua jinsi ya kumuingia yule Nesi Subira ambaye ndiyo alifanya hata ile sehemu ya kati ya shuka la hospitali ile kuwa kama pana panda na kushuka. Baada ya kuwaza sana, niliamua saa nne au saa tano za usiku ule ndiyo nifanye niliyotumwa na shetani. Baada ya dakika kama kumi na tano,Nesi Subira aliingia na kimfuko cheusi kidogo kilichosheheni chips mayai ndani yake pamoja kuku nusu. Wakati huo mkono wake wa kushoto alikuwa kabebelea maji ya kunywa na soda aina ya fanta. “Dah! We dada unajua sana. Hivi ulijuaje kuwa napenda fanta?”.Nikamuuliza swali lingine la kisomi huku nikimaanisha fanta ni yeye kutokana na rangi aliyokuwa nayo. “Mi ndo kinywaji changu hicho”.Alijibu huku anatabasamu. “Ha ha haaa, na mayai je?”.Swali lingine la kisomi. “Siyo saana, ila napenda yakiwa yamekaangwa”.Alijibu Nesi. “Kwa hiyo yakiwa yamechemshwa na yapo tayari kuliwa na wewe, unaweza kuyala?”.Nilizidi kutema mafumbo. “Mh! Ya kuchemsha mi siyo mpenzi”.Akajibu huku akizidi kutabasamu. “Kwa hiyo mayai yaliyochemka hata mawili humalizi?”. “Mawili tu! Hayo fasta,tena naongezea na koka”. “Aaaah”.Nilihamaki huku nikiwa na furaha baada ya jibu lile. “Eeee”.Akajibu. “Basi poa. Nikimaliza nadhani nitalala,au utakuja kupiga stori na mimi?”. “Mh! Sijui aisee. Ila nitaangalia si wajua vitu vya watu hivi”.Alinijibu wakati huo mimi nilishaanza kutupia kile chakula kinywani mwangu. “Ok! Poa. Ngoja mimi nile kwanza kwa maana ili tumbo nahisi linanyonga kwa sababu halina kitu”.Nilimjibu yule Nesi na kisha alinikabidhi chenji yangu na kutoka mle wodini. Sikutaka kumuonesha muda uleule nia yangu, mpango mzima nikaupanga ufanyike saa nne au saa tano kama kutatokea kikwazo kwenye saa nne. Baada ya kumaliza kula na kunywa, nililala kwa kujiegesha huku akili yangu ikiwa inategea saa nne ifike.          ******************************************
Saa nne na nusu ilipofika,nilishituka na kuanza kupiga vikelele vya kizushi ambavyo vilimfikia yule Nesi na mara moja alikuja napolala na kuanza kuniuliza kuna nini. Nilimjibu kuwa tumbo linanyonga huku nikigala gala pale kitandani kitu ambacho kilimfanya yule Nesi awe kama ananipindua pindua ili nisilalie tumbo. Huo ndio hasa wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu,kwani wakati ananipindua ili niangalie juu na siyo kulalia tumbo, mimi niligeuka kwa haraka na kwa nguvu kidogo kitu kilichomfanya yule nesi mikono yake kutereza na kujikuta akiangukia kifuani kwangu huku mguu wake mmoja ukiwa chini na mwingine akiwa kaupandisha kitandani.
Nilibaki kidogo nimeganda, wakati huo nilimuona na yeye akihisi kitu fulani baada ya kuangukia kifuani kwangu.Kitendo bila kupoteza muda,nilichomoa mkono wangu na kushika kalio lake moja la ule mguu ulio chini na kufanya kama naupandisha juu ya kitanda. Kama na yeye alikuwa na mimi, wala hakuwa na hiyana, akapanda mwili mzima na kunilalia juu yangu,kisha akakutanisha kinywa chake kwa kukileta kwenye kinywa changu na kilichoendelea hapo ni ndimi zetu kupigana kama mapanga ya kwenye filamu.
Baada ya dakika kama mbili ya vinywa vyetu kupambana,alininong’oneza kwa sauti yake murua kuwa nisubiri kwanza. Akashuka toka kifuani kwangu na kukishusha chini kigauni chake nilichokipandisha wakati natafuta raha ya mikono yangu kwenye mapaja yake na makalioni.
Alitoka nje mara moja,naona alienda kuhakikisha usalama wa ofisi aliyopewa.Baada ya dakika tatu,aliingia mle wodini na safari hii aliingia huku anafungua vifungo vya gauni lake lile vilivyoenda hadi chini. Baada ya kuvifungua vifungo vyote, alinifuata huku lile gauni sasa likionekana kama koti likiacha kifua chake chenye matiti madogo yalishikwa na sidiria kuonekana vyema katika upeo wa macho yangu.
Alikuja na nguvu mpya,kwani baada ya kufika kwenye kile kitanda alinipandia tena kwa juu na kuingiza tena ulimi kinywani mwangu huku goti lake moja likaanza kusugua taratibu sehemu ya zipu yangu ya suruali,jambo lililofanya nihisi kama nataka kupaa lakini nisipae. Nilidebweda haraka sana,yaani hata kabla sijatoa nguo zangu. Nadhani yule Nesi aligundua hilo. Kwa ujanja wake aliofunzwa huko anapojua yeye, aliito suruali yangu nyepesi niliyolala nayo na akafuata zile zilizobaki na hivyo kusababisha sasa nibaki na nguo moja tu!Ambayo ni ngozi. Wakati ananitoa nguo,ni kama alikuwa ananipa muda wa kupumzika. Baada ya kumaliza kunitoa,na mimi ili nisionekane boya,nilimuwahi na kumpindulia kitandani hivyo nikawa juu yake. Kisha kwa viutundu vyangu vya kuungaunga, nami nikaanza kuvitumia kwa kuanza kumyonya shingoni,na kisha nikaanza kushuka hadi kifuani,kitovuni na baadaye nikafika maeneo ambayo yalikuwa yamefichwa kwa kibikini chake chekundu. Wala sikuhangaika,nilisogeza kwa pembeni kile kikofia cha bikini na moja kwa moja kwa macho yangu,nilikutana na kapango kadogo ambako nilikavamia kwa mdomo, jambo lililofanya yule Nesi aanze kutoa milio ya kuhamasisha mdomoni mwake huku mikono yake miwili ikiwa kisogoni ikikandamizia mdomo wangu kwenye kale kapango. “Ooh Prince, usiache kufanya hivyo,weka tena”.Hizo ni baadhi ya sauti zilizosikika kutoka kwa Nesi ambapo na mimi nikapata libichwa na kuzidi kutafuna kale kapango ambako mwanzo nilikaona kadogo,ila kila nikijaribu kutaka kukamaliza kwa kukatafuna nagundua siwezi kukamaliza.

MH! KAZIIPO... NINI KITATOKEA?





(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.