¨Staki Kuzalisha Tena kwa Sasa, Wacha Nipumzike¨ Wasafi Artist, Mbosso Pleads
Wasafi´s own, Mbosso Khan ushered in 2020 with only one plea: Do no give me any more kids. 3 are enough.
However, he hopes that despite 2020´s arrival with a bang and alluring promises, the year will spare him from child siring.
Kipenzi Mwaka 2020 karibu sana, nimekupokea vizuri na kwa mapenzi tele. Ila sasa Chunga sana Baba maana Kijana wako ninawatoto watatu sasa na Mmoja nimenyimwa. Na ujio wako umekuja na Mbwembwe nyingi na Vishawishi vyenye ushawishi ndani yake…
Mbosso reiterated his stand affirming that he has now decided to put a halt to child siring and instead raise up his 3 kids.
His hope and believe is that 2020 will be kind enough to grant him his wishes.
Chonde Chonde Mwaka 2020 Staki Kuzalisha tena kwa Sasa , Nimeamua Kupumzika .. Naimani Ombi Langu utalisikiliza na utalifanyia Kazi .. Nilinde na Umate Umate 🤔😁😂🤣
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: