Cardi B Aomba Uraia wa Nigeria Kisa...Nigeria Wamjibu....

Cardi B akaribishwa vizuri Nigeria na mwenyekiti wa tume ya Wa Nigeria waishio nje ya nchi. Kupitia Twitter ameandika milango ipo wazi na anakaribishwa.

Cardi B aliahidi kuchukua Uraia wa nchi hiyo kutokana na sakata la kukosekana kwa amani nchini Marekani mara baada ya kuuawa Qasem Soleiman, kiongozi wa kikosi maalum cha Jeshi la Ulinzi chini Iran.


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.