UNAAMBIWA MUDA WA KUFANYA MAPENZI NI DAKIKA 13 TU, LA SIVYO UTAJIUA.....


Ujumbe huu ni mahususi kwa Wanandoa, utafiti uliofanywa na wataalamu kutoka nchini Marekani na Canada umeeleza kuwa dakika 13 ni sawa kwa tendo hilo
-
Utafiti huo uliofanywa mwaka 2008 umeeleza kuwa mwanaume anaweza kufanya tendo hilo kwa umakini na usahihi kwa dakika 5 hadi 13

Taarifa hiyo inaeleza kuwa kuzidishwa kwa dakika hizo si kawaida na kunaweza kusababisha kifo kwa Mwanaume au Mwanamke wakati wa tendo
-
Wataalamu hao wameongeza kuwa vijana wengi wanafariki mapema kwa kutumia madawa ya kuongeza nguvu za kiume na hamasa ya mapenzi, dawa hizo ni hatari kwa afya


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.