KAMA HAUJAWEKA HII KATIKA NDOA..BASI SAHAU
Lazima uamini kwamba ndoa yenu itadumu na hakuna kitu kinaitwa talaka na talaka haitakubalika kamwe.
Ni muhimu sana ujiamini kwamba mwenza wako (mume wako au mke wako) anakupenda sana kama wewe unavyompenda yeye hata kama haoneshi kwamba anakupenda ila amino kwamba anakupenda sana ndio maana amekuchagua we were. Fahamu hivyo na amini hivyo.
KAna ukiweka hii katika ndoa yako, huwezi kuyumbishwa n a upepo wa mashaka na hofu wakati kunajitokeza kutoelewana. Kwa njia hii itakuwa rahisi kuirudisha ndoa yako kwenye mstari.
Ni muhimu sana ujiamini kwamba mwenza wako (mume wako au mke wako) anakupenda sana kama wewe unavyompenda yeye hata kama haoneshi kwamba anakupenda ila amino kwamba anakupenda sana ndio maana amekuchagua we were. Fahamu hivyo na amini hivyo.
KAna ukiweka hii katika ndoa yako, huwezi kuyumbishwa n a upepo wa mashaka na hofu wakati kunajitokeza kutoelewana. Kwa njia hii itakuwa rahisi kuirudisha ndoa yako kwenye mstari.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: