BABU MWENYE WAKE WATATU AFIA GESTI NA MCHEPUKO
Mkazi mmoja wa Geita Salumu Bashite anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 65 amefariki Dunia katika mazingira ya kutatanisha baada ya presha kumpanda akiwa chumba cha kulala wageni akiwa na kademu (Hawara) yake licha ya kuwa na wake watatu.
Tukio hilo la aina yake limetokea juzi majira ya Saa moja za jioni katika nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Mayunga Guest House, iliyopo Mtaa wa Nyantorotoro Nyankumbu ambapo Mzee huyo aliingia na mwanamke mrembo kwa lengo la kupumzika kwa muda maarufu kama short time.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: