UONGO KATIKA MAHUSIANO
Ipo mitazamo mingi ya uongo katika mahusiano,,,ni jambo zuri kuwa mkweli katika mahusiano ya kimapenzi au ndoa lakini kuna muda uongo unahitajika ili kuimarisha mahusiano,,,,,sio kila jambo unatakiwa kumweleza mwenzako ukweli,,,changanya hapo na uongo ukweli,,,jifunze kuwa ukweli muda mwingine huwa ni sumu katika mahusiano
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: