UNAHITAJI MTU SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI
Kama Mungu kamleta kwasababu yako,,basi utaona akisababisha furaha yako kwa vitendo,,,,,wale ambao mnasema mnapendwa halafu hamna furaha kwenye mahusiano yenu,,,,, yabidi ujitathimini kabla ya kwenda hatua kubwa zaidi,,,,hebu jiulize swali dogo tu,maana ya upendo au mapenzi ni nini?je ni furaha au maumivu?jibu nadhani unalo na na ni wakati wa kuwa sehemu sahihi ukiwa na mtu sahihi.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: