UNA NAFASI NA HAKI YA KUPENDA AU KUPENDWA
Usikate tamaa,usaliti uliofanyiwa usikufanye ukayachukia mapenzi,kikubwa ni kujua sifa NA vigezo vya mtu mwenye upendo wa dhati na atakayeheshimu hisia zako,,,ni haki yako NA unaweza kufurahia mapenzi tena,,,hebu tulia na ujitathimini kisha ruhusu akili ishirikiane na hisia ili vifanye maamuzi ya kumpata mtu sahihi na wakati sahihi atayeleta furaha na kukusahaulisha machungu yote.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: