MAPENZI NI HISIA
Kwenye mapenzi ukiona unatumia nguvu ya ziada au ushawishi wa kitu fulani ili fulani akupende au aongeze mapenzi basi yawezekana hajakupenda kwa dhati
Mapenzi ni hisia,,anayekupenda kweli hawezi kukufanya utumie nguvu au ushawishi wa kitu kumpata
Na ukishamkubalia basi pima upendo je,ni upendo wa maneno au vitendo?
Vipimo huja kwenye kutazama vitu kama kuheshimu hisia zako kama unavyofanya kwake,,,kukupa muda wake,,,kukujali kama wewe unavyomjali,,,kuboresha mawasiliano na kuthamini uwepo katika hii dunia.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: