JUA UPO KATIKA NAMNA GANI YA MAHUSIANO










Yaani kuna watu ukiwauliza kabisa hivi mpenzi wako anakupenda?anakosa cha kujibu na ukweli ni kwamba ni hajui na yeye mwenyewe anajiuliza swali hilo,,

Haipendezi kuwa kwenye mahusiano ambayo hayajulikani hata lengo lake nini,,
Yaani upo  na huyo mwenza wako na hujui kama upo kwenye mahusiano au unapotezewa muda tu.

Yaani vitendo anavyokufanyia vinaonesha kabisa kuwa hupendwi lakini unaendelea kujifariji tu,,

Yaani hata mtu akuulize upo kwenye mahusiano hujui hata cha kumjibu sababu mahusiano yako hayaeleweki
Jitathimini na kujitambua ili kujua kama anapendwa au hapendwi,,,hama hupendwi

chukua maamuzi magumu ya kuachana na hayo mahusiano na songa mbele,,,muombe Mungu akupatie mwanaume sahihi.



(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.