JIFUNZE KUBADILIKA BAADA YA KUACHWA
Ukilia ukiwa umeachwa haisaidii kitu,,kikubwa ni kujiuliza,je umeachwa kwasababu gani,,hili ndilo swali ambalo unapaswa ujiulize ili kurekebisha ulipokosea ili ajae asije anakuacha kama huyo wa mwanzo,,,nikwambie kitu my sister/brother usipoondoa kisiki ulichojikwaa kisa tu una maumivu,,,tegemea ipo siku kitakukwaa tena na kupata maumivu,,,unapoachwa jisafishe makosa yako na kuwa Mwanaume/mwanamke mpya hata utakapojaljwa kupata mwingine akukute wa tofauti kabisa.
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: