MANENO HAYA YASOGEZE AKILI YAKO


MACHO MARA NYINGI HUDANGANYA NA MAWAZO HUPOTOSHA,,MARA NYINGI UNACHOKIONA SI JINSI KILIVYO NA UNACHOKIWAZA SI NAMNA KILIVYO,,,,
HIVYO USITAZAME KWA MACHO WALA USICHAGUE KWA MOYO WALA KWA MAWAZO YAKO BALI MWACHE ROHO MTAKATIFU ATAWALE MAAMUZI YAKO,,
Ndugu zangu katika imani kuna muda tunapenda tusipostahili na kuacha tunapopendwa,,hii ni kwasababu hatuna macho ya kiroho,,,Mwenyezi Mungu atuepushie mapenzi ya mateso na mateso na atupe watu sahihi.

(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.