Mashindano ya Kukiss kwa Mara ya Kwanza Yafanyika Nchini Uganda
Hii inaweza kuwa ni Mara ya kwanza kuisikia ila huko Uganda kwa mara ya kwanza wakati wa siku kuu za mwaka mpya wakati wengine wakiwa kanisani huko sehemu inayoitwa Mukono limefanyika tamasha la kukisiana ambalo liliitwa The kissing festival , ambapo watu hushindana kukiss na mpenzi ama rafiki yako..Tamasha hilo limekuwa Gumzo sana nchini humo na lilivuta hisia za watu wengi sana wakiwemo pia waliolipinga na kusema halina maadili katika jamii..
Soon Tamasha Hili Litakuja Bongo , Trust Me....
Soon Tamasha Hili Litakuja Bongo , Trust Me....
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
No comments: