Kijana: Kulelewa na mwanamke, uwe mvumilivu




Vijana wa mujini, wenyewe wanaita msingi kiuno, yaani unapata mwanamke mtu mzima kakuzimikia anaamua kukuchukua mkaishi wote kwake huku anagharamia bill zote ikiwemo kodi, umeme, maji, gharama za simu,nauli/mafuta & service ya gari n.k.

Lakini kwa namna wake zetu (nimeoa) walivyo na maneno ewe kijana nakushauri kama una roho nyepesi bora utafute pesa yako mwenyewe ili mtu asiwe anakusimanga (Kikinuka). Maana siku mmetibuana Bi. Mkubwa atatema "cheche" utukaniwe mpaka bibi yako (marehemu) aliyekufa kabla ya wewe kuzaliwa.

Yote haya ni ndani ya sekunde 60 tu. vijana tufanye kazi, tutafute vya kwetu.

(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.