Wanaosema Rwanda kuna wanawake wazuri, je wameshawahi kufika Kondoa, Babati, Manyara na Iramba?



Watu wengi wamekuwa wakiwasifia kwamba rwanda bana kuna wanawake wazuli haswa wanaotokea kabila la watusi

licha ya watu kusifia wadada wa rwanda je kuna watu wameshawahi kutembelea maeneo ya kondoa,iramba,babati na manyara wanapotokea wadada kutokea makabila ya warangi, wambulu,waasi wanyairamba na wairakiiiiiiiiiii............

aisee hivi watu wanajua kama warangi, wambulu, wanyairamba, wairakiii ni watu wenye rangi za kipekeee, macho ya rangi na nywele tofauti, pia wana rangi adimu, 

kuna sometime unaweza kusema hawa ni sijui waarabu au wazungu


(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.