Swali: Katerero ndio nini jamani?




Nimekaa zangu naangalia Movies NETFLIX,
Mara simu whatsapp ikaingia,
kucheki ni shangazi yangu, ananiambia Aunty naomba nikuuulize tafadhali:
Eti Katerero ni nini?
Na hio KATERERO nani anatakiwa ampatie mwenzake? mwanaume au mwanamke?
KATERERO ni chakula au kama ni Chakula inauzwa wapi?
doh, watoto wa skuhizi wana maswali!

eti nyie mliokubuhu embu niambieni KATERERO ndio nini kwanza, alafu me nitamjibu

Nilimwambia nitampigia kesho msiniangushe basi nyie mliokomaa!

(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments:

Theme images by imagedepotpro. Powered by Blogger.