Shemeji yangu amenilazimisha nitoke nae na amefanikiwa
Kutoka kwa Mdau
Nimemaliza degree hapo UDOM naishi na bro Dar ila kahamishiwa kikazi Dodoma kwa hiyo nimebaki na shemeji nyumbani, alinitega kwa siku nyingi na hatimaye amefanikiwa na sasa hivi imekuwa tabia kila siku ndo mchezo hadi sasa ana mimba.
Sijui ni ya nani maana bro huwa anakuja weekend au wakati mwingine after two weeks
NIFANYEJE wadau mana sina pa kwenda zaid ya hapa ndio kwanza ni ka mradi nimekaanzisha?
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments: