Mambo 10 ambayo mwanamke anamzidi mwanaume
Mambo 10 ambayo mwanamke anamzidi mwanaume
1. Wana nguo nyingi sana kuliko wanaume
2. Wanafahamu nani Baba wa watoto wao waliozaa
3. Ni wepesi kupenda,wakipenda wanapenda ukweli ukweli
4. Wanaoga mara nyingi zaidi kwa siku moja
5. Wana huruma sana ingawa mara nyingi huruma yao huwa inawaponza
6. Wanauwezo wa kubadilisha tabia ya Mwanaume muda wowote ule
7. Wanauwezo wa kuishi na kupendeza popote pale hata kama hawana kazi wala biashara
8. Kwao nywele,uso na kucha ndo vitu vya kwanza kufikiria pindi wanapotaka kutoka
9. Wanauwezo wa kupretend kwa muda mrefu kwenye mapenzi
10. WANAPENDA SANA PESA KULIKO WANAUME
Usisahau kushare post hii.👍 Share facebook, twitter, Google+ n.k bila kusahau WhatsApp! Share kote wenzio nao wasome
(WAKUBWA TU 18+) JIFUNZE UFUNDI NA UTUNDU KATIKA MAPENZI UBORESHE MAHUSIANO YAKO PAKUA APP YA UFUNDI CHUMBANI , BONYEZA HAPA
KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO

No comments: